salamu ya sikukuu

leo sikukuu,kitaa wali nazi,
chunga sana ,viduku kumwaga radhi,
kutana na yatima na wahitaji,
acha kutawanya pesa kwa wanyoyaji,
leo ndo leo kijiko ndani ya mfuko,
msuli mkubwa,tanga suti mwiko,
huku niliko,ni soda tu ,na juice za kopo,
kakando kando na milupo,kando kando na mikosho,
asante allaha,idd mubaraka ,ishalaaaaah,,,



ed njema wakubwaa...