sikukuu njema

nakula bata ndefu,mpaka tabata inageuka kwa mtogele,
kama upo poa ,tende sawa toa kitu weka kitu weta mpe dole,
haya maisha tu,kama nimekukosea sorry,
ni nafanya yangu na lete kilo ya mbuzi,mpaka wamasai waseme yelo subai,
subai,we arifu ni kwere sana ulibidi uishi dubai,
sata rumba ruka majuka,waga pombe na hakuna atakeleuliza,we lipuka,
na kula meza moja na mafisadi wa kuu,wakuu wa epa na mabosi wa ehura,
lati ningekuwa mbuge,leo hata adui yangu angenipa kura...


raaaahhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaa
sikuku njemaaa