du..

Pesa hazihitaji umbea ndo maana hazishindi kabisa saloon
Kitaa kimemsahau bodea ,jilieze wewe utabuna lin,
Masuper star na vimin,maana mapaja yameja mikunjo ,uso poda na makunyazi,
Hiki kizazi,baba na lala na mwana chumba kimoja,lini ataweza kumpa radhi,
Siku hizi mitahani inavuja nab ado mtahiniwa anapata zero,
Huu ni utani ,mwekezaji amafunga kuku kwenye ardhi ya mchele,
Gasi inavuka mipaka ,wamakonde wamefingwa kengele,
Mademu wa siku hisi poda nyingi ,mikogo asha ngedere,
Maproduza uswazi na mabeat fuju,mpaka wimbo unageuka makelele,
M superstar,niliyemuuwa ,mpaka young killer,
Kisa ni mrs superstar kumgombania kabula,
Pesa imeshasaula nguo,tatizo mimi mume bwege,
Pedege kwenye gongo,fukura klabu cha mbege.
M ndo muuza ngenge nisiye jua bei ya nyanya wala kitungu,

Msomi wa chuo kikuu,niliyehitumu bila kujui TCU,

(nitaendelea next time )
ukitaka nikutungie nyimbo piga simu tu 0713 592224 au 0767592224 mstari ya uhakika..