MWANAHAWA VERSE

Stop kwanza,umekaza ,na u mrembo wa kuliza,
Simama kwanza,samahani kwa kukukwaza,….
Nachana juu ya biti,juu yako malikia,
U mrembo,mtori inayonukia,
Hy whatsapp, mpaka  vibe nasikia,
Kwako ni chuma ulete, nichume nilete wote,malikia,
Maliza vyote,ben kwangu jikubali twende sote.
Kwangu we gesi ya mtwara mmakonde nimesha lala,
Mwandishi wa makala,ala za roho ninapolala,
Heshima,upendo, na huu urembo unanivunja taya,
Mikogo,vituko,kila nikikuona nakosa power,
Unanikosha mwanya ,kubali niwe wako mwanahawa,
Mdomo unatetemeka  inatamka : nakupenda kwa shida,
Maana kweli nimependa mpaka kuongea nashindwa,
Nashindwa mwezio kuvumilia,kila nikikuona naumia,
Natamani uwe wangu niwe wako wa maisha,
Uwe fb yangu, nikuperuzi kila dakika,
Hakika unakila kitu ninacho kitaka,
Special one,kwangu we ni special honey,
Kitu gani kubali ,kubali nikupele nyumbani,
Nyumbani kwa maninja,mchumba accept tudake ndinga,
Napenda unavyopenda vile ninavyo flow,
Vinavyo shambulia floor,Kada sitokuacha baby u no.
Natamani uwe wangu verse hii upige back vorco,
Tufanane  ugeuke necta,nigeuke morko,
Tujuane kama pusha na muuza gongo,
Napambana usiku kucha m nasaka bingo,
Nije kukutuza,wangu ini mkalia nyongo,

La zizi wa roho,kingasiti,mamayoyo,,,,