heri ya sikukuu

m ndo nilyehitimu chuo,bila kuijua TCU,
msomi wa chuo kikuu,naundisha watoto a,e,i,o,u
sina makuuu,maana serekeli yetu ina meno na mguu
usawa huu lazima hata mwenye wazazi atajifanya yatima,
ili apate kipoozeo cha sikukuu,..